Lyn Nae Kufata nyendo za Hamisa Mobeto

Mwanadada irene ambae ni video queen  ambae pia aliwahi kupata umaarufu sana baada ya kusemekana kuwa amekuwa akitoka kimapenzi na mwanamuziki Diamond Platinumz amejikita rasmi katika maswala  ya muziki huku akiachia wimbo wake mpya.

Wimbo guo unaokwenda kwa jina  la chafu umeandikwa na msanii mwenzake marioo na kuwa directed na hanscana huku ikifanyika nchini Afrika ya Kusini.

download latest music    

Mwanadada huyo anasema kuwa kwa sasa amemua kuijiingiza rasmi katika muziki na anaomba sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki zake, huku akisema kuwa ameshatambulika kisheria na BASATA  hvyo hakuna haja ya mashabiki kuwa na wasiwasi na kazi zake.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.