Mabinti Zake Master Jay Wamfanya Aache Muziki.

Aliyewahi kuwa mtayarishaji bora wa muziki bongo na kufanya kazi na wasanii wengi na hata kuibua vipaji vya wasanii weng nchini, Master J amefunguka na kutoa sababu kubwa ya yeye kuacha muziki na kuamua kufanya kazi nyingine ili kuendelea kuangalia na kuitunza familia yake.

Master J anasema kuwa kama angeamua kuendelea kufanya kazi ya muziki kama watu walivyokuwa wakimuomba basi hasingeweza hata kuitunza familia yae na kutoa ada kwa ajili ya mabinti zake.

download latest music    

niliacha hii kazi ya ku-produce muziki  sio kwamba nilishindwa ila nilikuwa na malengo,kama ningeendelea ningeshindwa hata kumlipia ada binti yangu. 

Inasemekana kuwa Master J ambae amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanadada shaa kwa zaidi ya miaka mitano sasa , ana watoto wakike wa tatu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.