Madee Asumbuliwa na Ndoto ya Kumiliki Ndege

Msanii wa muziki bongo, Madee amefunguka na kuweka wazi kuwa amekuwa na ndoto nyingi nazingine zimekuwa zikitimia kwa haraka sasa lakini kwa sasa hivi ndoto kubwa aliyonayo na inayomsumbua ni ile ya kutaka kumiliki ndege yake mwenyewe.

Msanii huyo wa muda mrefu kutoka katika kundi la tip-top connection amekuwa moja ya wasanii waliwhi kujitoa sana kwa ajili ya kufanukisha ndoto za vijana wengi akiwepo Dogo Janja amabe kwa sasa amekuwa msanii mkubwa huku akitokea katika mikono ya msanii huyo.

download latest music    

Madee amebainisha hayo katika ukurasa wake wa instagram, baada ya kuweka picha ikimuonyesha yuko mbele ya ndege na kuandika kuwa hiyo ndio ndoto inayomsumbua sana kwa sasa maishani.

Kila mtu amekuwa na ndoto katika  maisha yake na swala la kuifanikisha kwa ndoto hiyo utegemea na vile unavyofanya kazi ili kufaniskisha hilo, mashabiki wa madee wamepa moyo Madee na kumtaka ajitume kufanikisha hilo , ingawa pia wapo waliompuuza na kuona kama hatoweza kufanikiwa katika hilo.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.