Madee :Sifungi Ndoa kwa Kufuata Mkumbo.

Mkurugenzi wa Manzese Music Baby  Hamad Ally  amefunguka na kusema kuwa kamwe hatakaa afunge ndo kwa kufuata mkumbo kwa sababu kuna wasanii wamefunga ndoa ila  anataka kufunga ndoa kwa sapaizi ili kuwashangaza wengi kwa sababu hatatotangaza.

Madee ambae  kwa sasa anataka kufanikisha kusimama kwa kazi zake za muziki kwa kuimarisha wasanii katika lebo yake ambapo mpaka sasa ameweza kuwatoa Gaza na Dogo Janja.

download latest music    

unajua swala la kufunga ndoa sio swala la kukurupuka tu,ndoa ni kitu binafsi labisa na ni swala , ndoa ni kitu binafsi na ni maamuzi ambayo yanafanywa mara moja tu  uwezi kuwa na maamuzi tena pale ukishaamua.kwaio mimi kama mimi swala la kufunga ndoa  hiyo ni mipango nitakayoifanya mimi na familia yangu ambayo siwezi kuiweka wazi muda wote kuanzia sasa hivi ninaweza kufunga ndoa.

Wasanii wengi sasa wamekuwa wakijiingiza katika ndoa , na kuacha ukapera .Msanii kama AY, Shiloleh na wengine wengi wamefunga ndoa na wengine wanatarajia kufunga ndoa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.