Mahakama yahairisha kesi ya Wema Sepetu ya kupatwa na bangi

Wema Sepetu na marafiki wake Angelina Msigwa na Matrida wanakabiliwa na mashtaka ya kukutwa na kiwango kidogo cha dawa za kulevya na kutumia dawa hizo.

Watatu hao walikua miongoni mwa watu kadhaa walioshikwa na police mapema mwaka huu baada ya Rais Magufuli kutangaza vita dhidi ya mihadarati.

download latest music    

Mara mingi Wema Sepetu amekua akifika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kuskizwa kwa kesi inayomkabili.

Wema Sepetu akiwa Mahakamani Kisutu

Mahakama hio sasa imehairisha kesi ya Wema Sepetu mbaka tarehe 10 Julai. Upande wa mashtaka uliomba shauri hilo liahirishwe hadi Julai 10 kwasababu Hakimu Mkazi Mfawidhi – Thomas Simba ambaye alikua askize kesi ya Wema alienda likizo.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere