Mahakama Yamtaka Wema Sepetu Kujibu Kesi Yake Ya Madawa Ya Kulevya

Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu amezidi kuwa katika wakati mgumu kwani kesi yake ya madawa ya kulevya inaendelea kuunguruma na halikumfurahisha kamtaka kujibu kesi hiyo mahakamani.

Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imesema Wema Sepetu na wenzake wawili wanaokabiliwa na tuhuma za kutumia madawa ya kulevya wana kesi za kujibu hivyo wataenda kujitetea mahakamani kuanzia mei 14 na 15 2018.

download latest music    

Wema Sepetu alifunguliwa kesi hiyo mwaka jana mwanzoni baada ya kukutwa na misokoto kadhaa ya bhangi nyumbani kwake na kwa kipindi cha muda mrefu kesi yake imekuwa ikiendelea kusomwa kwenye mahakam ya hakimu mkazi Kisutu.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.