Mahakama yaombwa kuamuru ufukuaji wa kaburi la Ivan Ssemwanga

Utata umezuka siku chache baada ya aliyekuwa mume wa Zari Hassan – Ivan Ssemwanga kuzikwa nyumbani kwa Kayunga, Uganda.

Kundi la Rich Gang ambalo lilianzishwa na marehemu, ulizua utata baada ya kumwaga pombe na kutupa pesa ndani la kaburi la Ivan.

download latest music    

Kitendo hicho kililazimisha familia ya Ivan kutafuta ulizi wa polisi kwa hofu kuwa wezi wengefukua kaburi la Ivan na kuiba jeneza lake na pesa zilizotupwa ndani ya karubi lake.

Soma pia: Polisi wa Uganda walinda kaburi la Ivan Ssemwanga

La kushangaza ni kuwa Mganda mmoja anayeitwa Abey Mgugu ameenda kotini kutoka koti iamuru ufukuaji wa kaburi la Ivan kwa msingi wa kutaka pesa zilizotupwa ndani la kaburi lake kutolewa na kurudishwa kwa matumizi.

Mgugu alisema kuwa kutupa pesa kwenye kaburi la Ivan kunadunisha fedha ya Uganda na nchi zingine ambazo pesa zao pia zilitupwa kwenye kaburi hilo.

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere