Maimartha Amkingia Kifua Wema Kuhusu Jina la Tanzania Sweetheart.

Mtangazaji maarufu na mc kipenzi cha watu Maiamrtha wa Jesse amejikuta anashindwa kuficha hisia zake za hasira kwa mwanadada Hamisa Mobeto kwa kitendo chake cha kutaka kuitwa Tanzania sweeethaert jina ambalo alipewa Wema hapo awali kutokana na upendo alikuwa nao kwa watu.,

Maiamrtha anatoboa siri na kusema kuwa pamoja na mambo yote ambayo wema aliwahi kumfanyia hamisa katika maisha yake mpaka kufikia hatua ya kuwa anampa ela ya nauli na pesa ya kununulia pafyum na kumkaribisha nyumbani kwake kama mdogo wake lakini mwanadada huyo bado aliamua kumsaliti na kutembea na mwanaume wa dada yake na sasa anagombania jina.

download latest music    

Maimartah anasema kuwa pamoja na yote lakini Wema atabaki kuwa Sweetheart wa Tanzania na hatopata mshindani hata siku moja hivyo kama kuna watu wanamuonea wivu basi  wamuache.

Pamoja na maneno yote hayo, mapovu hayo pia yanaambatana na pongezi za wema za kutimiza miaka kadhaa  ambapo mwanadada huyo anasherekea siku ya september 28 mwaka huu huku akimwalika Van Vicker katika party hiyo.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.