Maimartha Atia Neno Mavazi ya Tanasha

Mwanadad maimartha ametia neno kuhusu mavazi ya mwanadada Tanasha ambae kwa sasa amekuwa ndio habari ya mjini kutokana na mahusiano yake ya kimapenzi na msanii Diamond pltainumz.

Maimartha anasema kuwa amekuwa akimuona mwanadada huyo akivaa nguo za ajabu ambazo zimekuwa hazieleweki lakii pia haziendani na hadhi ya mwna uema anaetembea nae akitokea madale.

download latest music    

maimartaha ambae kila siku amekuwa haachi kutoa comments kuhusu wanawake wanaokuwa katika mahusiano na msanii diamond platinums anasema kuwa tanasha amekuwa na tabia ya kuvaa malonya lonya mabayo hayana uelekeo wa mbele wala nyuma.

katika ukurasa wake maimartha aliandika ‘Mrs chibu…ni macho yangu au naona….mavazi yako saiayelewi…mbona kama unavaa maronya… au ni macho yangu tu..samahani lakini….sisi tunataka uvae kimadale madale…madale bwana…”

Ikumbukwe kuwa hata mama mzazi wa msanii Diamond Platinumz aliwahi kupata kigugumizi kutaka kuongelea swala la mavazi ya mwanadada huyo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.