Maimatha Afunguka na Kueleza Jinsi Urembo Uivyotaka Kumuumbua Leba

Mtangazaji mkongwe na Msanii Maimartha Jesse amefunguka na kueleza jinsi licha zake za Bandai zilivyompa tabu alipoingia leba miezi Michache iliyopita kwa ajili ya kujifungua mtoto wake.

Maimatha amefunguka na kuweka wazi kuwa moja ya changamoto  aliyokutana nayo alipoingia leba kwenda kuzaa akiwa na kucha zake feki na ndefu za kubandika (tips) na kuwapa somo mastaa wanaopenda kubandika kucha kipindi cha ujauzito.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya  na Risasi Jumamosi, Maimartha alisema mara baada ya kuingia leba ilibaki kidogo afukuzwe na daktari kwani kucha alizokuwa amebandika zilikuwa zinageuka kuwa kero na kujikuta akizitoa kwa meno licha ya kwamba alikuwa akipata maumivu makali.

Yaani sitasahau maana kidogo tu nifukuzwe leba kisa kucha za kubandika, niwape tu tahadhari wenzwangu kuwa makini na kucha hizo maana siyo nzuri kabisa“.

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.