Majizzo: Lulu Wewe ni Mtu Wa Muhimu Kwangu

Mfanyabiashara maarufu na mmiliki wa Kituo cha televisheni cha TV E na kituo ch redio cha EFM Francis Siza maarufu kama Majizzo amezidi kumkumbuka mpenzi wake Elizabeth Michael ‘Lulu’.

Ikiwa leo ni siku ya kusheherekea kumbu kumbu ya kuzaliwa kwa Lulu ambaye yupo gerezani Majizzo amemkumbuka Lulu kwa kumuandikia ujumbe mzito wa kumkumbuka.

download latest music    

Lulu alifungwa miezi kadhaa iliyopita baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa mpenzi wake na nguli wa filamu za kibongo Steven Kanumba.

Majizzo amemuandikia ujumbe huo mpenzi wake Lulu Kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo amemtaka awe jasiri Lakini pia amemuhaidi kuwa yeye ni mtu muhimu sana maishani mwake:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.