Majjizo Amvisha Pete ya Uchumba Elizabeth Michael.

Ile ndoto na stori iliyokuwa ikisubiriwa kwamuda mrefu kuhusu mahusino ya mwanadada Lulu Michael na majizo ambae ni bosi wa EFM imkeuwa yenye kheri baada ya mwanaume huyo kuamua kumvisha pete ya uchumba mwandada lulu siku ya septemba 30.

Majizo na Lulu wamekuwa katika mahusiano kwa muda mrefu na hata kwanadada lulu michael alipokuwa katika kesi yake ya kuuua bila kukusudia mwanaume huyo alikuwa nae bega kwa bega.

download latest music    

Hata hivyo kati ya watu waliohudhuria kitendo hicho ni pamoja na mh paul makonda amabe tangu hapo awali akithubutu kusema kuwa atahakikisha mwanadada lulu anafunga ndoia na bosi huyo la sivyo atadiriki kumfunga.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.