Makamu wa Raisi Ampa Heshima Hii Marehemu Godzilla

Makamu wa Raisi wa jamhuri ya muingano wa Tanzania Mama Samia Suluhu amemkumbuka Msanii Wa Hip Hop Godzilla ambaye alifariki ghafla siku ya jana.

Siku ya jana Mama Samia kabla hajaanza kuhutubia kwenye kongamano la dawa za kulevya aliwaomba watu kusimama kwa dakika moja kumuombea Godzilla.

download latest music    

Nimepata taarifa kuwa usiku wa kuamkia leo tumepata msiba wa msanii mmoja ambaye naye ni Ndugu Golden Jacob Mbunda kwa umaarufu anajulikana kama Godzilla. Sasa naomba wote tusimame kwa dakika moja tumpe heshima yake na kila mmoja aombe kwa kitabu anachokiamini”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.