Makonda Athibitisha Lulu na Majjizo Kufungia Ndoa China

Mkuu wa moa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda amefunguka wakati akimpa pongeza za kuamua kuchukua jiko kwa mc pilipili huku akijikuta akifunguka engi kuhusuwatru wake wa karibu anaowajua ambao pia wao katika kiwanda cha burudani.

Kama itakumbukwa , Mh huyo ndio alikuwa master mind wa  harusi ya msanii lulu michael na mpenzi wake majizo ambapo tunaambiwa kuwa wawili hao waliamua kwenda kufumga ndoa yao nchini china ambapo watrakuja huku kwa ajili ya kufanya sherehe tu.

download latest music    

Mwanadada Lulu Michael na majizo wamekuwa nje ya nchi kwa muda sasa huku taaarifa za wali zilidai kuwa walienda kwa ajili ya matembezi lakini mkuu wa mkoa katoboa siri.

Mh makonda aliamshauri Mc Pilipili kumshauri diamond kuacha kuhairisha ndoa kama alivyofanya kwa sasa kati yake na tanasha huku akisema kuwa swala lake la kumvisha msichana pete limewaumiza wengi aliwahi kuwa nao katika mahusiano.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.