Mama Diamond Amkingia Kifua Wema.

Mama mzazi  wa msanii Diamond Platinumz amekuwa ni mzazi anakuwa mstari wa mbele katika kumsapoti mtoto wake na hata kufikia hatua ya kugombana na mashabiki wake katika mitandao pale anapoona kuwa mtoto wake anakuwa ameandamwa sana.

Wikiendi hii kulikuwa na party ya kumtambulisha msanii mpya katika kundi  la wasafi ambapo mwandada Wema Sepetu alikuwa ameharikwa katika party hiyo.Swala la uwepow a mwandada huyo lilizua gumzo kubwa kwa mashabiki wake na hata kuanza kumtukana Wema na familia ya Diamond kwa kusema kuwa wamekuwa wakisapoti uchafu anaofanya ndugu yao.

download latest music    

Kwa kuonyesha kuwa hajali maneno hayo ya watu mama Diamond alipost moja ya video zilizosambaa sana katika mitandao ambayo ilikuwa ikiwaonyesha Wema na Diamond wakiwa katika muonekano wa kimahaba na kuandika kuwa watu waongee tu lakini wao wanapiga hela.

 Katika ukurasa wake wa instagram mama yake diamond alionyesha kuwa aamekuwa hakiyaona maneno yao lakini wao wanaingiza hela kupitia amneno yao.kwa herufi kubwa nyie hongeeni,chambeni cc tunapiga hela.

Ikiwa bado kuna lile fukuto la Zari kumwambai mAma Diamond wahame madale na kwamba wamuachie Diamond guest house ikiwa ni dongo kubwa kwa Doiamnd , hakuna aliyetaka kuamini kuwa mama Ziamond angeweza kuandika hivyo kwa kumtetea diamond na mtoto wae ilhali wengi waliamini kuwa mama huyo yuko upande wa zari ambae kwa sasa inasemkana kuwa hana mahusiano mazuri na mzazi mwenzie Diamond Platinumz.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.