Mama Diamond- Sitakubali Diamond Apotezwe na Mwanamke

Mama Mzazi wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Bi Sandra maarufu kama Mama Diamond ameweka wazi kuwa hataruhusu mwanaye apotezwe na wanawake wanabe.

Kauli hiyo ya Mama Diamond imekuja baada ya maneno maneno mengi kuzuka baada ya yeye kushangilia Diamond kurudiana na Zari huku akijua wazi kuwa yupo na Hamisa.

download latest music    

Mama Diamond ameweka wazi kuwa hamtaki Hamisa kama mkwe wake kauli iliyosababisha mashabiki kumjia juu kwa kitendo chake cha kutaka kumchagulia mtoto wake mke.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Mama Diamond amesema wazi kuwa hawezi kukubali kuona Diamond anapotea na yeye kama mzazi yupo kwa ajili ya kumuweka katika njia iliyonyooka:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.