Mama Mobeto Achoshwa na Skendo za Diamond.

Mama wa video queen maarufu nchini Mama Mobeto amefunguka na kusema kuwa amechoshwa na tabia ya waandishi kuwa wanamuliza maswaka yanayomuhusu diamond wakati wao sasa hivi wako busy na kufanya kazi na sio kuzungumziwa katika mitandao ya kijamii.

Mama Mobeto amsema hataki kabisa kusikia habari zinazomuhusu Diamond kwa sababu kila mtu sasa hivi ana maisha yake hivyo waache kumfatilia.

download latest music    

jamani sisi mambo hayo ya kwenye mitandao hatuna kabisa,hata mtoto wangu ameshayasahu hayo mambo kabisa sas hivi, badala yake yupo kabisa na mambo yake mengine sasa hivi.michakato  yetu sasa hivi ni kutafuta pesa na wala sio kitu kingne kabisa.muda wa kuchokoana katika mitandao hatuna tena sasa hivi michakato yetu ni kutafuta pesa tu sasa hivi .tukiwa tunaongelea hivyo hatuwezi kupiga hatua kabisa kwaio kama kuna watu wana weza kufanya hivy acha wao wafanye tulishajivua kabisa na hayo mambo na hata huyo Diamond hatutaki kusikia mamneno yake tena.

Wakati Mama Mobeto akisema hayo kuhusu diamond na maisha yao mpaya huku  mtoto wake Hamisa alipost maneno katika mtandao wa snapchat kuwa amemmsi mwanaume wake ambao inasemekana kuwa mwanaume huyo ni diamond platinumz.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.