Maneno ya Dogo Janja Kuhusu kifo Chake
Msanii wa bongo flea Dogo Janja amefunguka na kuwataka watu kuwa na upendo na watu pale wanapkuwa hai na sio kusbiri mpak pale watakapokufa ndo waanze kulia na kusema kuwa walikuwa ni wapendwa wao.
katika kurasa wake Dogo Janja aliandika “siku nikifa utataoa machozi lakini mimi sitayaona,utaleta maua lakini mimi sitayapokea, utanisifai asna lakini mimi sitakusikia utanisamehe makosa yangu lakini mimi sitayajua , utanimisi sana lakini sitafahamu na utauzinika sana lakini sitakuona.
Dogo janja ametaka watu kuwa wakweli wa wale wanaowapenda kabla hawajakufa na sio kujifanya mnafiki kuonyesha kuwa unampenda mtu akiwa tayari hajuia wala haoni kile unachokifanya.