Maneno ya Mashabiki Baada ya Dogo Janja Kukitana na Jenipher Kanumba
Wikiend hii wasani walipokuwa katika ziara ya shule mbalimbali mkoani Kilimanjaro, msanii Dogo janja alikutana na msanii wa bongo movies Jenipher kanumba na kupiga nae picha ya pamoja.
Kata hivyo wawili hao wote ni wasanii lakini kwa maelezo ya dogo janja anasema kuwa hakuwahi kukutana na msanii mwenzake huyo na ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa siku hiyo.
Katika picha hiyo Dogo janja alisema kuwa hiyo iliwahi kuwa moja ya ndoto yake ya kutaka kukutana na msanii huyo na anashukuru ndoto hiyo imekamilika.
Kama kawaida kwa maneno ya mshabiki walianza kumpingeza huku wengine wakimwambia kuwa wasichana kama jenipher ndio saizi yake na sio kukimbilia wanamwake wakubwa wakubwa ambao wamezidi umri kama uwoya.
Baadhi za commentsa za wadau zinaonekna azikisema hivi ”