Maneno ya Mwijaku Kuhusu Mke Wake Yachafua Mitandao

Moja kati ya watu wanaongelewa sana katika mitandao kwa sasa ni msanii Mwijaku ambae amekuwa akitumbua majipu ya watu mbalimbali hasa wasanii wanaopenda drama katika mitandao ya kijamii.

Mwijaku ambae kwa sasa amekuwa akisemea kila kinachotoka katika mitandao kuhusu wasanii wenzake amewaacha watu hoi baada ya kusema kuwa katika wanawake wote Tanzania, mke wake pekee ndo mwanamke mzuri kuliko watu wote,

download latest music    

Msanii huyo aliamua kumsiafia mke wake na kuwapnda wanawake wengine huku akiamini kuwa wanawake wengi wa bongo wanakosa uhalisia wa maisha na ndio maana kutwa kushinda katika mitandao ya kijamii na wanashindwa kukaa katika ndoa zao na wengine hawabahatiki kabisa kupata ndoa.

Msanii huyo aliwaacha watu midomo wazi huku wengine wakihjaribu kufanya uchunguzi na mlinganishao wa mwanamke wake na wanawake wengine waki kibongo hasa wasanii.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.