Mange Amtaka Wolper Asirudi Kwa Harmonize Maana Ameachwa na Mzungu

Mange Kimambi ameibuka na kumfungukia Staa wa Bongo movie Jacqueline Wolper kuhusu kurudiana na Ex Wake Msanii wa Bongo fleva Harmonize na kumtaka asijaribu.

Mange ameongea hayo Baada ya kuwepo kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Wolper na Harmonize wamerudiana Baada ya kuonekana pamoja wakiwa beneti kwenye tamasha la Wasafi Festival.

download latest music    

Mange amemchana Wolper na kumtaka kutorudi kwa Harmonize kwa sababu hana mapenzi ya kweli kwake kwani amerudi Baada ya kuachwa na Sarah ambaye amemtimua Nyumba waliokuwa wanaishi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi ameandika:

https://www.instagram.com/p/Bq8-aiHAvPK/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=wwhqlwlkrzki

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.