Mange Amtupia Wema Tuhuma Nzito Za Kwenda Kwa Waganga Kama Mobetto

Mange Kimambi ameingia Kwenye bifu zito na msanii wa Bongo movie Wema Sepetu baada ya sakata la uchawi la Hamisa ambalo lilishika kazi baada ya voice note kuvujishwa mtandaoni.

Mange na Wema walianza kurushiana maneno baada ya Mange kumtuhumu Wema kwa kushabikia kesi ya Mobetto ambapo Mange alimwambia Wema asishabikie sana kwani yeye mwenyewe ameshawahi kupata skendo za waganga.

download latest music    

Baada ya maneno hayo kusemwa ndipo vita ya maneno na matusi ilianza kwani Wema alikataa kuwa hajawahi kwenda kwa waganga hata siku moja na kuweka posti hii:

https://www.instagram.com/p/BnUKOienUro/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1swhan939ccq1

Mange alimjia juu Wema juu ya tuhuma za Kwenda Kwa Waganga na kuweka video ya miaka ya nyuma ambayo Mama Wema aliongea na kukiri mtoto wake ana tabia za kwenda kwa waganga:

https://www.instagram.com/p/BnUWEWHlxF5/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=imnibw87yviy

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.