Mange Ashutumiwa Kuiba Akaunti ya Makonda.

Mwanadada mwanahrakati katika mitandao ya kijamii mwenye asili ya Tanzania lakini anayeishi Marekani, Mange Kimambi  ameshutumiwa na watu wa page mbalimbali za udaku baada ya akaunti ya mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam kuibwa na watu wasiojulikana na kuvuta kila kitu katika akaunti hiyo.

Mwanadada huyo ambae hapo awali alishutumiwa kuiba akaunti ya Wema sepetu na baada kurudishwa ameingizwa katika swala hilo tena baada ya kuona kuwa aliyeiba akaunti hiyo kufuta na kuwaun-follow watu wote na kuacha jina la mange kimambi tu kama mtu anayemfuata .

download latest music    

Hata hivyo mwanadada huyoa ambae amekuwa akivumbua siri nyingi sana za huku tanzania na pia kusaidia watu wengi kupitia ukurasa wake hajazungumza chochote kama ambavyo imekuwa ikizoeleka kwamba kinapotea kitu kuhusu yeye uongea katika ukurasa wake.

Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa mwanadada huyo kuambaiwa amefanya vit vya kuumiza  mtu mmoja au mwingine tena hasa kwa upande wa Mkuu wa Mkoa hasa kwa sababu hakuna maelewano mazuri kati ya mwanadada huyo na Mh Mkuu wa Mkoa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.