Mange Hana Makosa ya Kupost, Hata Yeye Anapewa Taarifa.:-Mwarabu Fighter
Body guard wa msanii harmonize pamoja na diamond platinumz amefunguka na kuzungumzia swala la yeye kuwa karibu na sarah jinsi lilivyozua maneno katika mtandao wa kijamii kuwa ana uhusiano nae wa kimapenzi.
Swala hilo lili-trend sana katika mitandao ya kijamii na hata kuzua ugomvi kati ya Sarah, Jackline wolper na harmonize tena baada ya wolper kuzungumzia swala hilola Mwarabu Fighter kutoka na Sarah.
Hata hivyo mwarab fighter alipata baahati ya kuongea na Dizzim Online na kusema kuwa pamoja na kwamba chanzo cha habari hizo ni Mange Kimambi lakini bado anaona kuwa Mange Kimambi hana makosa yoyote kwa sababu hata mange amekuwa akipewa taarifa hizo na watu wa huku kwaio kwanke yeye mange hana kosa lolote .
Mange mwenyewe hana makosa kutokana na kwamba hata yeye Mange anapewe taarifa na mara nyingine zinakuwaga za kweli au sio za kweli,na yeye akipewa habari anakuwa anazipeleka kama zilivyo na watu wengine hawaachi kuamini kwa sababu zimetolewa.