Mange Kimambi Ahusishwa Kesi ya Mwanafunzi wa UDSM.

Kesi ya mwanafunzi wa udsm Abdul Nondo ambayo iliendelea wiki iliyopita  huku shaidi upande wa jamhuri alitoa ushaidi na kusema kuwa mwanafuzni huyo aliwahikuwasiliana na mwanadada Mange Kimambi kabla ya tukio la kutekwa kutokea.

Mwana dada Mange kimambi ambae amekuwa ni moja ya wanaharakati wasiokuwa na taaluma maarumu kutokana na uwezo wake wa kuingilia katika kila idara na kukosoa au kusema ukweli ulioficha kuhusu kitu flani amehusishwa katika kesi hiyo ya mwanafunzi Abdul Nondo.

download latest music    

Shaihidi huyo anasema kuwa katika simu ya mshtakiwa walikuta baadhi ya barua pepe ambazo mwanafunzi huyo aliweza kumuandiki Mange Kimambi akimuelezea habari zake na kwamba yeye ndie alitoa tamko baada ya kutokea kwa kifo cha mwanafuzni wa NIT kifo kilichogusa mamilioni ya watanzania.

Lakini pia mtoa ushaidi huyo alisema kuwa ktaika barua pepe hiyo Abdul Nondo alimweleza mange kimambi kuwa amepata taarifa kuwa amekuwa akitfautwa kwa muda mrefu na ametakwa kutotembea ovyo .

Mange kimambi ambae amekuwa akitoa habari nyingi na matukio mengi hasa ya wasanii amekutwa na tetesi hiyo lakini hajatraka kuzungumzia chochote kuhusu hilo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.