Mange Kimambi Aibua Mapya Ugomvi wa Shilawadu na Mose Iyobo

Siku chache zimepita tangu kutokee ugomvi kati ya Moze Iyobo na waandaaji wa kipindi cha shilawadu(Soudy brown na Qwisar), ambapo baada ya waandaaji hao kutaka kufany interview na Aunty Ezekil kuhusu ugomvi aliokuwa nao na mrembo Tunda walifika katika pub yake na kumkuta Mose Iyobo ambae kwa inavyosemekana ni kuwa waandaaji hao walivamiwa na kupigwa vibaya na mzazi mwenzie na Aunty Ezekiel.

lakini wakiwa katikati ya kipindi cha shikawadu,Aunty Ezekiel aliwapigia simu waandaaji hao na kuwaomba radhi kuwa kitu hicho hakitajirudia lakini pia alimuombea mzazi mweznie msamaha na kusema atakapo rudi kutoka China watakuja kuyaongea na kuyamaliza.

download latest music    

Siku ya jana wasanii na wacheza dance wa wcb, walikuwa wakipost picha nyingi kuonyesha kuwa walikuwa pamoja na rc wa dar es salaam.ambapo baada ya picha hizo nyingi kusambaa katika mitandoa ya kijamii mange kimambi aliibuka na lake na kusema kuwa wasanii hao walialikwa kwa  mkuu wa mko kwa ajili ya kuwapongeza kwa kazi kubwa walioifanya ya kuwapiga shilawadu.

Katika ukurasa wake wa Instagram Mange Kimambi aliandika,ndo wameenda kupongezwa na mkuu wa mkoa kwa kuwapiga shilawadu.ila sijui bashite angewafanya ni  shilawadu kama Magu angemruhusu  kuwanyoosha.

Ugomvi huo wa Mose na shilawadu unahusishwa na ugomvi kati ya shilawadu na mh makonda siku za nyuma na kusemekana kuwa kipigo cha shilawadu juzi ni kutokana na kutumwa na mkuu wa mkoa huyo ili kuwakomesha zaidi.

Hata hivyo bado kunaonekana vita ya  maneno inaendelea kati  kundi la wcb na waandaaji wa kipindi hicho huku wakitupiaa madongo gizani.

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.