Mange Kimambi Amerudi Kundini , sasa ni Mwenzetu:-Afande MamboSasa

Kamanda wa kanda maarumu ya kipolisi ya Jijini Dar Es Salaam, ametoa wito kwa vijana wote kuacha kushabikia mambo yasiyokwa na uthibitisho  na bila kutambua madhara yake katika jamii.kamanda huyo anasema kuwa mwezi uliopita walikamata vijana wengi waliokuwa wakihasisha swala la maandamano ambalo lilianzishwa na mwana Dada Mange Kimambi lakini baada ya tarehe hiyo kupita mange kimambi ameanza tena kuipongeza serikali.

Ninawasihii sana vijana wa tanzania mnapokuwa mkishabiki vitu uwe kwanza mnaangalia pia na athari zake katika jamii zetu,,mnamo 26 february tulikamata vijana ambao walikuwa wakitumia mitandao ya kijamii kuhamasisha swala a maandamano ambalo lilikuwa limeanzishwa na mwanaharakati mange kimambi.lakini sasa hivi mamnge anaipongeza serikali na tunampongeza pia kwa sababu bado anaipongeza serikali na amerudi kundini.

mange amekuwa akiwapotosha jamii lakini baaada ya kuona kuna watu wengi wanampuuza basi na yeye ameona ni bora arudi na kuipongeza serikali lakini watu tuliowakamata tuliwahoji na kuwapa dhamana.

Mwanaharakati mange kimambi amekuwa akihamasishwa vitu vingi katika jamii na watu wamekuwa mstari wa mbele kumuamini. lakini siku ya kumbukumbu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar kulitokea tafrani kutokana na dada huyo kuwahamasishwa watu katika mitandao kuandamanaili kumpinga kiongozi  mkubwa wa nchi.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.