Mange Kimambi amkingia Kifua Hamisa, Amvaa Ray C
Mwanaharakati kupitia mitandao ya kijamii Mange kimambi amefunguka na kumtolea povu zito msanii wa muziki wa bongo fleva Ray c baada ya msanii huyo kuonekana kama anamganda sana kooni mwanadada Hamisa Mobeto hasa baada ya haisa kutoa wimbo wake mpya wa madam hero.
Katika moja ya post zake , Ray c alionekana kutopendezwa na wimbo huo na kusema kuwa ni bora asngeimaba kabisa.
Hata hivyo Mange kimambi aliguswa na maneno ya Ray c kwenda kwa Hamisa na ndipo alipoamua kumtola povu zito Ray c na kumshauri amuache binti ambae hawaendani hata umri.
Usikose kusikiliza nyimbo ya madam hero kutoka kwa hamisa , endelea kupambana mama najua ukifika umri wa vizee kama wetu utakuwa umefikia mafanikio makubwa sana.sijui watu huwa wanawaza nini kufananisha mafanikio ya mtoto wa miaka 23 na wao wa miaka 40 watanzania bhana sijui mnanini, inabidi mumfananishe na watu wa umri wake sio wa sisi vizee.
Hata hivyo Mange kimambi amempa moyo Hamisa na kumwambia aendelee kupambana na atafika anapopataka.