Mange Kimambi Amtolea Povu Makonda Kisa WCB

Mwanadada Mange Kimambi amefunguka na kumtolea povu Mh Paul Makonda kwa kile kilichodaiwa kuwa wasanii wa WCB wamekuwa wakiangaliwa kwa mambo mengi wanayoyafanya ambayo yanakuwa hayana maadili katika jamii lakini wakifanya wasanii wengine inaonekana ni kosa kubwa.

katika ukurasa wake wa instagram, Mange Kimambi meweka picha ya rayvanny akiwa anafagia pesa ze noti ya shilingi elfu 10 huku wakati huo huo msanii maua sama na Soudy Brown wakiripotiwa kuwa mahakamani kwa kosa la kusambaa kwa video iliyokuwa ikiwaonyesha wakiwa wanakanyaga pesa hizo.

download latest music    

Mange Kimambi analalamika kuwa Mh Makonda amekuwa akiwakingia kifua wasanii wa WCB huku wasanii wengine wakiwa wanateseka na makosa kama yao.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.