Mara Nyingi Tuzo za Tanzania Zina Uchonganishi

Mwanamuziki Diamond Platinumz amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba amekuwa akipigania sana watuwa tanzania kupata tuzo lakini kwake amekuwa akihangaika sana kupata tuzo za nje na kuzileta ndani kwa sababau anaona kuwa tuzo za Tanzania zinakuwa na uchonganishi sana kwaio huwa  hana mpango sana na tuzo za Tanzania.

Diamond aliongea hayo usiku wa jana alipokuwa amehudhria utoaji wa tuzo za MO awards zenye lengo la kutoa hamasa kwa club ya simba na watendaji wake pamoja na wachezaji pia.

download latest music    

Mara nyingi nimekuwa nikipigania tuoz kutoka nje kuja tanzania, maana tuzo za tanzqnia zina uchonganishi sana,lakini kwa hili la simba litakuwa ni kama changamoto kwa watu wengine na club zingine pia lakini hii inatia motisha sana kwa watu kufanya vizuri.

Hata hivyo katika hafla hiyo Diamond alibahatika kutoa tuzo kwa haji manara aliyekuwa moja ya washindi wa kipengere cha mnahasishaji bora wa mpiram hata hivyo Diamond amesisistiza kuwa nhata yeye ni simba damu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.