Marehemu Agnes Masogange Ameagwa Leaders Club Jana (Picha)

Aliyekuwa msanii wa Bongo movie na video vixen Agnes Gerald au maarufu kama Masogange aliyefariki dunia siku ya Ijumaa kwa kile kinachodaiwa kuwa ni ugonjwa wa pumu, ameagwa jana leaders club jijini Dar es Salaam.

Agnes ameagwa jana na wasanii wenzake pamoja na mashabiki zake tayari kabisa kwa ajili ya kusafirishwa na kupelekwa mkoani kwao Mbeya kwa aajili ya mazishi.

download latest music    

Hizi ni baadhi ya picha za matukio yaliyotokea jana Leaders Club:

 

 

.
.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.