Mashabiki Wakiendela Kunisumbua Nitakata Kichwa.:-Ben Pol

Msanii ben pola amekuwa akiwashangaza mashabiki wake kila siku kutokana na tabia yake ya kubuni vitu vipya kila siku kuhusu muonekano wake kila kukicha.Akitambulisha wimbo wake mpya wa zai ambao ameimba na Kriss Danuel, Ben Pol alitokea studio akiwa na nguo nyeusi iliyochanika chanika huku kichwani akiwa amenyoa kipara.

Muonekano wa Ben Pol umekuwa wa tofauti kila kukicha tangu alipoanza na kuweka nywele za rangi ya kijani ambapo alipoulizwa alisema ni kutokana na kazi aliyokuwa nayo kipindi hicho ya kuwa balozi wa mazingira.

download latest music    

Hata hivyo alipokuwa akifanya mahojiano na mwanahabari wa Clouds tv, Ben Pol alisema kuwa  ameamua kufaya hivyo ili kuwa na muonekano wa tofauti kila siku kulinagana na kazi anazokuwa akifanya.

Hata hivyo Ben Pol anasema kuwa pamoja na kwamba mashabiki wake wamekuwa mara nyingi wakimshambuklia kwa maneno na kama sasa hivi watamshambulia tena basi atakata kichwa chake kwa sababu kila anachofanya wanakuwa wanamsema.

Nilinyoa kwa sababu nilimaua tukose wote, wengine walikuwa wakisema kuwa nywele zako za kijani nzuri wangeni wanasema nywele zako mbaya nikaona bora tu ninyoe tukose wota lakinipia kama kipara tena wananisema basi nitakata kichwa tu ili tukose wote maana hakuna kitu utafanya wataacha kusema.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.