Mashabiki Wamjia Juu Aslay,ni Baada ya Kupata Mwingine Baada ya Tessy

Mashabiki wamemtolea maneno ya kashfa msanii wa muziki wa kizazi kipya anaefanya vizuri na kipaji chake bwana Aslay baada ya kusambaazakatika mitandao ya kijamii picha za mwanamke wake mpya ikidaiwa kuwa wawili hao kwa sasa ni wapenzi.

Mwanadada huyo ambae ametokea bongo movies anaonekana kujiamini kutokana na kuanikwa sana katika mitandao na mwanaume huyo  na kusahau kuwa aslya tatyri alishawahi kuwa na mahusiano na mwanadada mwingine na kupata nae mtoto.

download latest music    

Hata hivyo, mashabiki wameonekena kuchukizwa na maamuzi ya alsya ya kumtangaza mwanamke wake mpya hadharani huku hata mwezi haujapita tangu alipoachana na mama mtoto wake na kumwambia kuwa atapata tabu sana kwa sababu Tessy na diana ni wawili tofauti na watakuja kushindwana tu.

Aslay na Tessy wamedumu katika mahusiano kwa muda mrefu na kubahatka kupata mtoto mmoja na sasa kugombana bila wao wenyewe kuwa wazi ni nini chanzo cha ugomvi huo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.