Mashabiki Wampongeza Mavoko Kuondoka WCB

Baada ya msanii  Rich mavoko ,aliyewahi kuwa   katika kundi la wcb kutoa ngoma mpya na  baadhi ya mashabiki kumpongeza kwa uamuzi huo mkubwa aliuamua. hata hivyo utata unakuja pale ambapo wengi wa mashabiki wake wanaamua kutoa pongezi kuwa  bora alivyoondoka WCB ,

Hakuna mtu yoyote aliyethibitisha kufukuzwa kwa Rich mavoko lakini kuna  baadhi yaishara tu zimekuwa zikionyesha kuwa  msanii huyo ametoka wcb kama vile kufuta baadhi ya picha alizowahi kupiga akiwa na wasanii wenzake wa wcb lakini pia hata kutoa bo ya wcb katika ukurasa wake wa instagram.

download latest music    

Kubwa zaidi ni kwamba Rich Mavoko ameshaamua kum-unfollow bosi wa wcb ambae ni diamond platinumz.

Swala la wasanii wa wcb kuondoka au kuacha kazi limekuwa likifanywa kimya kimya na hii inaweza kuangalia hata katika mifano ya nyuma kama kwa Q-boy, kwa kifesi na hata bodyguard wao ambae mpaka sasa hakuna ana ejua hatima yake mpaka pale yanapowafika shingoni ndio wanaanza kusema ukweli.

Hata hivyo mashabiki wamefurahi sana ujio mpya wa rich mavoko na huku wengi wakiamini kuwa kuwepo kwake WCB ndiko kuliko sababibsha ukimywa wake siku zote bila kutoa ngoma.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.