Masogange Alikwepa Gereza,.

Mwanadada Agness Masogange amelikimbia gereza baada ya kesi yake ambayo hukumu yake ilitolea siku ya tarehe o3 March mwaka huu kumtaka kutumikia kifungo cha miaka miwili jela baadaya kukutwa nahatia ya kutumia madawa ya kulevya au kutoa faini ya shiling milion 1.5 kama faini ya hukumu hiyo.

Hata hivyo, faini hiyo ambayo ilitakiwa kutolewa mara baada ya hukumu la sivyo agnes alitakiwa kusekwa gerezani ilipatukana na kutolewa papo kwa papo na kumfanya Agnes kuwa huru na kutolewa .

download latest music    

Agness amekuwa akifatilia kesi hiyo kwa kipindi cha mwaka sasa baada ya kukumbwa na sakata la utumiaji wa madawa ya kulevya , kampeni ambayo iliendeshwa  na mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam na wasanii wengi walikumbwa na mkasa huo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.