Matukio Katika Picha: Ndoa Ya Mchekeshaji Joti

Msanii na mchekeshaji  mkongwe na maarufu alieanza kazi za uuchekeshaji kwa muda mrefu joti amefunga ndoa jumamosi iliyopita. Ndoa yake ni moja kati ya ndoa zinazoingia katika orodha ya ndoa zilizofana sana Tanzania.Ndoa hiyo ambayo ilfanyikia Mlimani City jijini Dar Es Salam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri  ilikuwa ya aina yake.Hizi ni baadhi ya picha za ndoa hiyo

download latest music    

Joti akiwa na mpambe wake Sekion david

joti akiwa na mke wake

joti akifurahi jambo na mkewe , kulia ni wanandoa na familia.

Joti na mkewe wakiwa na furaha.

Baadhi ya watu waliodhuria ukumbini kusherekea pamoja nae

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.