Matukio Ya Birthday Party ya Jackline Wolper

Juzi ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya mrembo na mjasiriamali na pia malkia wa bongo movies anaetamba sana katika mitandao kwa sasa jackline wolper ambapo jana aliamua kufanya birthday party yake na kualika watu mbalimbali katika party hiyo na ilifanikiwa kusherekewa na wasanii na watu wake wa karibu wengi kama inavyoonekana katika matukio.

download latest music    

Muonekano wa Jacky kwa usiku wa jana

Amber Lulu katika red carpet

Baadhi ya wasanii akiwemo Diamond Platinumz katika kumsapoti Jacky

Steve Nyerere akiwa na Aunty Ezekiel

 

Kulia ni Diamond na aliyekuwa mke wa Barnaba(Mama Steve) , kushoto ni Barnaba na Jacky

Wasanii wenzake na Jacky wakiwa katika party hiyo

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.