Matukio Ya Harusi Ya Zabibu Kiba Kwenye Picha

Zabibu Kiba ambaye ni dada wa staa wa Bongo fleva Ali Kiba ameolewa siku ya jana na Staa wa Taifa Stars na mchezaji wa Baroka FC ya Afrika Kusini Abdi Banda.

Ndoa hiyo imefungwa katika msikiti wa Sanene Tabata jijini Dar es Salaaam baada ya shamra shamra za sherehe za wiki nzima ambapo Ali Kiba alionekana kama mtu ambaye amemuoza dada yake.

download latest music    

Hizi ni baadhi ya picha za matukio ya ndoa hiyo iliyofungwa alfajiri na mapema:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.