Matumizi ya Kinga Yamzuia Dogo Janja Kupata Mtoto.

Msanii wa bongo fleva anetamba sana kwa sasa na wimbo wake wa Banana dogo janja ambae pia ni mume wa msanii wa filamu nchini irene uwoya , amefunguka na kusema kuwa  kabla hajaoa ilikuwa ni vigumu sana kwake kupata mtoto kutokana na wosia aliwahi kuachiwa na baba yake.

Akijibu swali aliloulizwa na mashabiki kuhusu  idadi ya watoto alionao mpka sasa , Dogo Janja anasema kuwa hana mtoto na wala hajwahi kusingiziwa mtoto katika maisha yake ya ujana .

download latest music    

sijawahi kusingiziwa mtoto maisha yangu yote ,kwa sababu mimi napenda sana kutumia kinga,alafu na marehemu baba yangu aliwahi kuniambia kuwa nisipate mtoto nje ya ndoa.kwa sasa nimeona kwaio siwezi kuendelea kutumia kinga na panapo majaliwa basi tutapata mtoto soon.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.