Maua sama ajivunia mafanikio ya Iokote

Mwanadada Maua Sama ameonyesha kupata mafanikio makubwa kutokana na wimbo ulifanya vizuri sana mwaka 2018 uliojulikana kwa jina lka Iokote ambao ulivuma sana ndani na nje ya tanzania.

Maua sama ansema kuwa idadi kubwa ya mashabiki zake waliopenda wimbo huo walimfanya apate hata nguvu ya kupush wimbo huo kutokana na wao kuupokea vizuri.

download latest music    

Hata hivyo mwanadada huyo anazidi kuwapa moyo mashabiki zake kutokana na mafanikio hayo hasa baada ya kununu gari ya rav4 inayosemwa kuwa na thamani ya zaidi ya milion 20 na hata sasa kununua kwanja tayari kwa ujenzi.

Mwanadada huyo ambae amekuwa kimya asietaka kuonyesha nini anafanya, Amfanya vizuri sana kwa mwaka uliopita huku mashabiki wakisubiri ujio mpyta baada ya Iokote.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.