Maua Sama Atangaza Ndoa.

Huenda ikawa kweli mwanadada Maua Sama ameamua kufunga pingu za maisha na yule ampendae kutokana na caption zake nyingi katika ukurasa wake wa instagram akionyesha kuwa ana dalili za harusi hivi karibuni.

Lakini pia inawezekana ikawa ni kiki ya wimbo wake mpya kama wanavyojua kufanya wasanii wengi  pale wanapotaka kuachia ngoma mpya kwa kuamua kutengeneza attention kwa mashabiki wao ili ngoma iuze na waweze kufanya vizuri.

download latest music    

basi katika ukurasa wake wa instagram, maua ameweka zaidi ya mara mbili picha zeney caption ya kuashiria jambo fulani linakaribia.akiwa amevalia gauni ya harusi (shela) mau sama aliweka picha hiyo na kuandika “wahenga wanasema utamu wa ngoma ingia ndani mwenyewe ucheze,wacha na mimi nikachze yangu”

Na baada ya maneno hayo katika ukurasa wake wa instagram alianza kuweka picha zinazomuonyesha akiwa karibu na msani mwenie Ben pol na kuandika baadhi ya maneno yaliyoashiria ndoa.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.