Mawazo ya Afande Sele Yalipangwa Katika Ufahamu Mdogo :-Nikki wa pili

Msanii kutoka katika kundi la Weusi amefunguka na kusema kuwa mawazo ya msanii Afande Sele ambae aliwahi kusema kuwa wasanii wa kundil la weuzi wamekuwa wakipata tuzo za muziki wa KILI kila mara kuwa walikuwa wakipewa tuzo hizo kwa kuangaliwa kabila lao na wala sio kitu kingine.

Nikki wa pili anasema kuwa swala hilo yeye hakubaliani nalo hata kidogo lakini pia anaamini kuwa afande sele alikuwa akisema hivyo huku akiwa na ufahamu mdogo wa kile anachokiongea.

download latest music    

Ingawa Nikki hataki kuonekana kama anajibizana na Afande Sele kwa kile alichokisema lakini bado anasisitiza kuwa kama ni kweli watuaji wa tuzo hizo wangekuwa kweli wanaangalia makabila  kama alivyosema Afande kuhusu kabila la wachaga basi alimia 90% ya tuzo zingekuwa zinaenda uko lakini haikuwa hivyo.

Nikki anasema kuwa afande sele arudi akajipange kusema upya kuhusu hilo kwa sababu anaamini kuwa hata kama alikaa muda mrefu kuchunguza na kuchambua swala hilo alilifanyia utafiti kwa uelewa mdogo.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.