Mazishi Ya Mtoto Wa Muna, Patrick Peter (+picha)

Mtoto wa msanii wa Bongo movie na mdau wa Bongo fleva Rose Alphonce maarufu kama Muna Love aliyeitwa Patrick Peter ameagwa rasmi siku ya Jumamosi katika viwanja vya leaders.

Patrick alifariki wiki iliyopita Nchini Kenya, Nairobi na kuzikwa siku ya Jumamosi katika makaburi ya Kinondoni.

download latest music    

Hizi ni baadhi ya picha za mazishi ya Patrick Peter katika makuburi ya Kinondoni:

.
.
.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.