Maznat Ampa Moyo Wema Sepetu Kuhusu Mtoto

Moja ya wanawake jasiri na maarufu nchi katika sekta ya mitindo na urembo Maznat bride amefunguka na kumpa moyo mwanadada Wema Spetu amabe kila siku amekuwa akionyesha kilio chake cha kupata mtoto lakini ombi lake limekuwa hakujibiwi,.

Wiki iliyopita wema aliweka picha akionyesha kusinoneka kutokana na mimba yale kuharibika . kitu kilichowaumi za watu wengi na kumuonea huruma kwa mapito anayopitia.

download latest music    

Katika ukurasa wake wa instagram,maznat alimwambia Wema kuwa kila mtu upewa kitu kulingana na muda ambao mungu amempangia hivy wala hasikate tamaa.

kuitwa mama sio lazima uzae, ukifika tu umri wa kiutwa aunty, mamdogo, shangzai au mama mkubwa ina maana wewe tayari ni mama, kuwa mama siyo lazima uingie labour , miminashukuru mungu kwa sababu nimezaa nimelea watoto wangu na wsio wangu na katika hayo nimejifunza kupenda watoto kwa dhati na pasipo kubagua.nimejifunza kuwa ukiwapenda kwa uendo wa kweli kabisa na wao watakupenda hivyo hivyo bila kubagua.lakini pia nilijifunza kuwapenda watoto yatima na kujitoa shiling yangu ya mwisho bila hata kuwajua wazazi wao.tena nikajitoa kwa moyo wangu wote na nguvu zangu zote  wala sikutaka kuwaza.

mungu ni msiri sana mdogo wangu wema sepetu @wemasepetu anajua nini kinamstahili nani na kwa muda gani, muda wa mungu ukifika atakufanyia suprise na faraja ya ajabu.atakupa kile moy wako unataka.atakutunuku zawadi ya ajabu, na ya kipekee, jipe moto al  its well, eeeh mungu na kila mwanamke apate hata katoto kamoja.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.