Mboso Asikika CLOUDS Fm

Msanii kutoka katika kundi la WCB amesikika kwa mara ya kwanza tangu Clouds media ilipoacha kucheza nyibo zao siku nyingi zilizopita ingawa swala jilo halikuwa limetangazwa public.

Wcb na Clouds wamekuwawakionekana kuwa na mgogoro wa chinichini ingawa hakuna anaetaka kushughulika na swala hilo lakini ni kwa muda mrefu media iyo imekuwa hainachzi nyimbo za wasanii hao kutoka katika kundi hilo.

download latest music    

Jambo la kushangaza ni hapo siku ya jana wimbo wa hodari wa mapnzi wa Mboso kutoka katika kundi hilo pendwa kusikika ukipigwa katika clouds fm huku watangazaji wake wakihusifia kwa nguvu wimbo huo.

Sio dhambi kwa kitendo icho lakii imani ya mashabiki ni kwamba yaliyokuwa chini ya kapeti kati y pande hizo mbili yataisha taratibu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.