Mboso Athibitisha Diamond Kuwa Single

Msani kutoka WCB mboso amefunguka katika moja ya comment alizokuwa akijibishana na bosi wake Diamond kuhusu wanawake huku diamond akimwambia kuwa anatka kumuona mwanamke ambae Mboso alikuwa akimtakia siku ya kuzaliwa na ndipo Mboso aliposema kuwa tamleta wa sababu anajua kuwa bosi wake ni Single boy.

Ikumbukwe kuwa Diamond amekuwa na wasichana wengi sana hapo katika na nyjma ana amekuwa aicahana  aneo sana hata hivyo hivi karibuni alisikika yupo katika mahusiano na mwanadada kim nana na baadae kusikia kuwa aliachana na mwanamke huyo na hata kumrushia mabegi nje.

download latest music    

Baada ya hapo mama wa msanii huyo alithibitisha kuwa waili hao hawajaacha  na hata mwanadada huyo yuko tayari kuadili dini kwa ajili ya mtoto wake.

Hii sio mara ya kwanza kwa Diamond kusemwa kuwa yuko single kwa sababu hiyo imekuwa kama tabia yake  kuwa na wanawake tofauti tofauti tangu alipoachana na zari maisha ya msanii huyo yamekuwa Tofauti sana.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.