Mboso Athibitisha Diamond Kuwa Single
Msani kutoka WCB mboso amefunguka katika moja ya comment alizokuwa akijibishana na bosi wake Diamond kuhusu wanawake huku diamond akimwambia kuwa anatka kumuona mwanamke ambae Mboso alikuwa akimtakia siku ya kuzaliwa na ndipo Mboso aliposema kuwa tamleta wa sababu anajua kuwa bosi wake ni Single boy.
Ikumbukwe kuwa Diamond amekuwa na wasichana wengi sana hapo katika na nyjma ana amekuwa aicahana aneo sana hata hivyo hivi karibuni alisikika yupo katika mahusiano na mwanadada kim nana na baadae kusikia kuwa aliachana na mwanamke huyo na hata kumrushia mabegi nje.
Baada ya hapo mama wa msanii huyo alithibitisha kuwa waili hao hawajaacha na hata mwanadada huyo yuko tayari kuadili dini kwa ajili ya mtoto wake.
Hii sio mara ya kwanza kwa Diamond kusemwa kuwa yuko single kwa sababu hiyo imekuwa kama tabia yake kuwa na wanawake tofauti tofauti tangu alipoachana na zari maisha ya msanii huyo yamekuwa Tofauti sana.