MbosoAfunguka Kuhusu Wimbo Wake na Kisanga cha Zari na Diamond.

Msanii Mboso amefunguka na kusema kuwa moja ya nyimbo zake ambazo aliwahi kuimba zamani na baadae kuurudia aliingia WCB ulipendwa sana na Diamond  kumbe ulikuwa unafanana na kisanga kikubwa kilichompta Diamond cha kutumiwa ua juesi na Zari the Bossy.

,boso anasema kuwa baada ya kuutoa wimbo huo February 9  ndipo Febraury 14 yalipotokea mambo ya ua jesi lakini wakati huo diamond alikuwa tayari anaupenda sana huo wimbo na ndie aliemuomba aurudie kuimba kwa sababu tayaria liashawahi kuimba akiwa Ya moto.

download latest music    

Hapana ni wimbo tu ambao umekutana na matukio, ni wimbo ambao nilishawahi kuimba hapo awali nilipokuwa ya moto , sasa nilipokuja kuingia WCB ni moja ya nyimbo ambazo bosi wangu alikuwa aizipenda sana na akaomba niurudie.sasa kipindi ninatoa wimbo huo ndio kisanga cha ua mwana mwekundu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.