Mbosso Alinisaidia Nilipotaka Kubakwa-Amber Lulu

Video queen na Msanii wa Bongo fleva Lulu Eugene maarufu kama Amber Lulu amefunguka na kudai Msanii mwenzake Mbosso kutoka WCB alimsaidia alipotana kubakwa miaka ya nyuma.

Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Mbosso, Amber Lulu ni mmoja kati ya wasanii ambaye amemposti Kwenye mitandao ya kijamii na kumtakia heri lakini Kwenye posti yake Amber Lulu amemshukuru Mbosso na kutoa siri nzito.

download latest music    

Amber ameweka  wazi kuwa miaka ya nyuma Mbosso alishawahi kumsaidia alipokuwa anataka kubakwa Lakini pia hajawahi kumwambia mtu yoyote.

Kupitia ukurasa  wake wa Instagram, Amber Lulu ameandika:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.