Mbowe aeleza mahusiano yake na Wema Sepetu

Image: Wema Sepetu

Freeman Mbowe ambaye ni kwenye kitu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu uhusiano wake na Wema Sepetu baada ya clip ya sauti inayosambaa mitandaoni.

download latest music    

Freeman amekana kutoka kimapenzi na kukana
clip hiyo. Kulingana na yeye hakuna kitu kinachoendelea Kati yake na Wema Sepetu. Akizungumza na kipindi cha XXL cha Clouds FM alisema,

“Kitu ambacho naweza kukisema kwa sasa hizo taarifa sio za kweli na timu yangu ya mtandao inajaribu kufuatilia kujua, na ukweli utajulikana muda sio mrefu.”

Hata hivyo alikataa kuzugumzia clip hiyo kwa kudai kuwa hawezi kusema nani alizindua audio hiyo…aliendelea kwa kusema

“Hapana yule ni kiongozi wa kijamii kwa maana kwamba ni mwanachama wetu aliyejiunga na chama chetu, na wapo wanawake, wasichana, wapo watu wengi kwenye chama chetu ni kwamba kuna mahusiano si kweli ni taarifa tu za upotoshaji.”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua