Mbunge na msanii wa hip hop Profesa Jay kufunga ndoa na mpenzi wake

Profesa Jay ambaye anajulikana na wengi kutokana na nyimbo zake za hiphop amekuwa kimya kwa muda sasa tangu kuwa mbuge wa Jimbo la Mikumi kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Hata hivyo bado anatamba kwa wimbo wake aliouachia mwaka jana akimshirikisha Sholo Mwamba.

download latest music    

Sasa hivi msanii huyo yuko kwenye maandalizi ya ndoa yake na mpenzi wake anayefahamika kama Grace Mgonjo. Profesa alitangaza haya kupitia mtandao wake wa Instagram alipoandika kuonyesha send off yake ilivyofanyika akina na marafika zake.

Tazama ujumbe wake;

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua